Newcastle na Manchester City Jana zilitoka Sare ya 1-1 kwenye Mechi ya Ligi Kuu England matokeo ambayo si mazuri kwa upande wowote kwani hayasaidii sana Klabu hizo katika vita zao za kubaki 4 Bora na nyingine kuchomoka toka kushushwa Daraja.
City walitangulia kufunga katika Dakika ya 14 kwa Bao tata la Sergio Aguero la kichwa alipounganisha frikiki ya Aleksandar Kolarov huku akiwa Ofsaidi.
Newcastle walisawazisha Dakika ya 31 kwa Bao la Vurnon Anita.
Matokeo hayo yamewaacha Newcastle wakiwa Nafasi ya 19 ikiwa ni nafasi 1 tu toka mkiani wakati City bado wapo Nafasi ya 3.
VIKOSI:
Newcastle: Darlow, Anita, Mbemba, Lascelles, Dummett, Tioté, Colback, Townsend, Sissoko, Perez, Cisse
Akiba: Wijnaldum, De Jong, Shelvey, Aarons, Saivet, Woodman, Mitrovic.
Man City: Hart, Zabaleta, Kompany, Mangala, Kolarov, Fernando, Delph, Jesus Navas, Toure, De Bruyne, Aguero
Akiba: Sterling, Caballero, Bony, Fernandinho, Demichelis, Otamendi, Iheanacho.
REFA: Kevin Friend
LIGI KUU ENGLAND
Ratiba:
Jumatano Aprili 20
2145 West Ham v Watford
2200 Liverpool v Everton
2200 Man United v Crystal Palace
Alhamisi Aprili 21
2145 Arsenal v West Brom
Jumamosi Aprili 23
1445 Man City v Stoke
1700 Aston Villa v Southampton
1700 Bournemouth v Chelsea
1700 Liverpool v Newcastle
Jumapili Aprili 24
1605 Sunderland v Arsenal
1815 Leicester v Swansea
Jumatatu Aprili 25
2200 Tottenham v West Brom



0 comments:
Post a Comment