
Ni Usiku wa 27, 2016 ambapo muunganiko wa ladha mbili kutoka kwenye kiwanda chaBongo Fleva unagusa headlines za burudani baada ya msanii Baraka Da Princekumshirikisha msanii Alikiba kwenye single yake mpya.
Single hiyo mpya iitwayo Nisamehe inayotarajiwa kuachia siku za hivi karibuni imetayarishwa katika studio za THT chini ya Emma The Boy.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka studio jinsi collabo hiyo ilivyokuwa ikifanyika.

.Producer Emma The Boy

.

.

.Katikati ni msanii Ommy Dimpoz naye alipata time ya kushuhudia collabo hiyo ilivyofanyika studio za THT chini ya producer Emma The Boy

.

.

.

.Kushoto ni Alikiba akiwa na Baraka Da Prince

.Producer Emma The Boy

.

0 comments:
Post a Comment