KIKOSI CHA AZAM FC KITACHOANZA DHIDI YA WAARABU HIKI HAPA

Mechi ya pili ya raundi ya pili kati ya Esperance ya Tunisia dhidi ya Azam FC katika Kombe la Shirikisho inatarajiwa kuanza saa tatu kamili usiku huu kwenye Uwanja wa Olympique de Rades usiku kwa saa za Afrika Mashariki.




Salehjembe itakuletea mchezo huo LIVE kutoka kwenye Mji wa Rades ambao upo kilometa 9 kutoka Mji Mkuu wa Tunisia, Tunis.
Kikosi cha Azam kinachotarajiwa kuanza katika mchezo wa leo ni hiki hapa:
1. Aishi Salum
2. Erasto Nyoni
3. Wazir Salum
4. David Mwantika
5. Aggrey Morris
6. Michael Bolou
7. Ramadhan Singano
8. Frank Domayo
9. Salum Abubakar
10. John Bocco (C)
11. Farid Mussa



AKIBA
1. Mwadini Ali
2. Said Morad
3. Himid Mao
4. Khamis Mcha
5. Mudathir Yahya
6. Allan Wanga
7. Didier Kavumbagu


PICHA: AZAMFC.CO.T
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment