Kiungo mshambuliaji Philippe Coutinho ameshinda tena nafasi ya mchezaji bora wa Liverpool.
’
Coutinho ameshinda tuzo hiyo katika hafla ya utoaji tuzo hizo iliyofanyika usiku wa kuamkia leo.
Raia huyo wa Brazil amekuwa na msimu mzuri na kikosi cha Liverpool.
Kiungo
Emre Can naye ameibuka na tuzo ya mchezaji anayechipukia wa Liverpool
huku Brad Smith akibeba tuzo ya mchezaji bora kijana aliye katika shule
ya klabu hiyo.















0 comments:
Post a Comment