ED WOODWARD ‘BUBU’ KUHUSU LOUIS VAN GAAL, NI DALILI MENEJA HUYO ‘AUTI’???

Louis van Gaal looked in high spirits as he spoke during a press conference on Friday afternoonMAKAMU MWENYEKITI MTENDAJI wa Manchester United Ed Woodward hakutamka hata mara moja Jina la Meneja wao Louis van Gaal wakati wa Mkutano Laivu Mtandaoni na Wawekezaji wa Klabu hiyo na hilo limetafsiriwa na Wachambuzi kuwa mwisho wa Mdachi huyo The Manchester United boss has only one year remaining on his contract but expects to remain at the clubumetimia.
 
Kwenye Mkutano huo, Woodward aliwasilisha Ripoti iliyoonyesha Man United imevuna zaidi ya Pauni Milioni 500 kama Mapato kwa Mwaka mmoja wakiwa wamekusanya Pauni Milioni 123.4, ongezeko la Asilimia 29.9, kwa Kipindi cha Tatu cha Mwaka 2016.
 Former Chelsea manager Jose Mourinho is waiting in the wings should an offer from United come forth

Wakiwa hatarini kukosa kucheza UEFA CHAMPIONZ LIGI, UCL, Msimu ujao ikiwa ni mara ya pili ndani ya Misimu Mitatu, Woodward aligusia nia yao kuwekeza Fedha za kutosha kununua Wachezaji wapya lakini hakumtaja Meneja Van Gaal hata mara moja.

Jambo hilo limetoa ishara kubwa kuwa Van Gaal huenda akatimuliwa mwishonManchester United face missing out on qualification for the Champions League next seasoni mwa Msimu huu ikiwa Man United wataikosa 4 Bora ambayo itawaruhusu kucheza UCL Msimu ujao.

Hivi sasa Man United wapo Nafasi ya 5 kwenye Ligi Kuu England wakiwa Pointi 2 nyuma ya Mahasimu wao Man City na ili kuikwaa Nafasi ya 4 Man United inabidi waifunge Bournemouth kwenye Mechi yao ya mwisho ya Ligi Uwanjani old Trafford hapo Jumapili na hapo hapo kuombea City wafungwe Ugenini na Swansea City.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment