JOSE MOURINHO AWAPONGEZA LEICESTER CITY KUBEBA UBINGWA 'WAKE'


Kocha Jose Mourinho ameipongeza Leicester City kwa kubeba ubingwa ‘wake’.

Leicester City ndiyo mabingwa wapya wa Ligi Kuu England.

Mourinho ambaye aliondoka Chelsea akiwaacha wakiwa mabingwa watetezi baada ya kuwasaidia kubeba ubingwa huo, amesema amefurahishwa na kazi ya Leicester inayoongozwa na Kocha Claudio Ranieri.


Kwa mazungumzo ya Mourinho, anaonyesha kama angeendelea kubaki Chelsea na wachezaji wasingemsaliti, alikuwa na uhakika wa kuutetea tena ubingwa huo kwa mara nyingine.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment