MABINGWA WAPYA WA ENGLAND, LEICESTER CITY AMBAO WAMEBEBA KOMBE WAKIWA NA MECHI MBILI MKONONI


KIKOSI CHA LEICESTER CITY KINACHONOLEWA NA CLAUDIO RANIERI RAIA WA ITALIA, NDIYO MABINGWA WAPYA WA ENGLAND BAADA YA SARE MABAO 2-2 KATI YA TIMU ZA LONDON, CHELSEA NA TOTTENHAM KATIKA GAME ILIYOMALIZIKA HIVI PUNDE IKIWA IMETAWALIWA NA UBABE ILE MBAYA.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment