Mei 28 mwaka huu, kunako dimba la Stadio San Siro kutakuwa na
pambano kali na la kusisimua la fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya
likiwakutanisha mahasimu wawili wa jiji la Madrid kutoka nchini
Uhisapnia yaani Atletico Madrid na Real Madrid.
Hii itakuwa ni mara ya pili kwa miamba hii kukutana katika hatua ya
fainali ya michuano hii, ambapo mara ya kwanza ilikuwa ni mwaka 2014 na
Real Madrid walifanikiwa kushinda kwa mabao 4-1 na kuchukua ubingwa huo
kwa mara ya kumi maarufu kama ‘La Decima’.
Kuelekea mchezo huu, tutupe jicho letu na kuwaangalia wachezaji wenye umri mdogo kabisa kucheza fainali hiyo ya ‘Champions League msimu huu’.
Real Madrid:
Kuelekea mchezo huu, tutupe jicho letu na kuwaangalia wachezaji wenye umri mdogo kabisa kucheza fainali hiyo ya ‘Champions League msimu huu’.
Real Madrid:
- Raphael Varane – miaka 23- (amecheza michezo saba msimu huu)
- Jese Rodriguez-Umri-miaka 23
Nafasi-Mshambuliaji
- Mateo Kovačić Umri-Miaka 22
Nafasi-Kiungo
Atletico Madrid:
Nafasi- Kipa
- Jan Oblak Umri – miaka 23
Nafasi- Kipa
- Yannick Carrasco Umri- miaka 22
Nafasi-Mshambuliaji
- Luciano Vietto Umri– miaka 22
- Thomas Partey Umri-miaka 22
Nafasi-Kiungo
- Matías Kranevitter Umri– miaka 22
Nafasi-Kiungo
5. José María Giménez Umri- miaka 21
Michezo- 8
Nafasi- Beki
- Saúl Ñíguez Umri– miaka 21
- Óliver Torres Umri– miaka 21
Nafasi- Kiungo
- Ángel Correa Umri– miaka 21
Nafasi- Midfielder
- Lucas Hernández Umri– miaka 20
Nafasi- Beki


0 comments:
Post a Comment