Rapper Jay Z ana mtoto mwingine mbali na Blue Ivy wa Beyonce?

Kama hukupata nafasi ya kuisikiliza Amplifaya ya Clouds FM Trending worldwide leo May 9 2016 kwa sababu ya kukosa time, basi usijali mtu wangu nimekusogezea moja kati ya stori zilizo make headlines leo…
Rapper Jay Z ameingia tena kwenye headlines baada ya kusemekana kuwa na mtoto wa nje ya ndoa. Mama mzazi wa  kijana “Rymir Satterthwaitemwenye umri wa miaka 22 anasema Jay Z alimpatia ujauzito zaidi ya miaka 20 iliyopita na anachohitaji ni mwanae kukutana na baba yake mzazi ambaye ni Jay Z.jay z son
jay Z
jay zz
Mama wa kijana huyo anasema hii sio mara ya kwanza yeye kuongelea swala hili kwani alishawahi kufungua kesi mwaka 2010 na kumtaka Jay Z afanye vipimo vya DNA ili kuhakikisha kuwa yule ni mwanae bila mafanikio yoyote.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment