SEREKALI TAMKO JUU YA YANGA

Kizingumkuti cha uchaguzi mkuu wa yanga chaendelea baada ya zoezi la uchukuaji fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika klabu ya Yanga kuwa na sintofahamu kubwa.
Serikali ilitoa maelekezo ya kuelekea uchaguzi huo lakini kunaonekana kuwepo kwa vikwazo mbalimbali ili zoezi hilo lisifanikiwe.
huyu hapa kaimu katibu mkuu wa BARAZA LA MICHEZO LA TAIFA
akielezea.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment