SIR ALEX AMSIFU WENGER KWA MSIMAMO THABITI!

MENEJA wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson amemsifu mpinzani wake wa zamani Arsene Wenger kwa kuwa na msimamo thabiti licha ya kushinikizwa na presha kubwa kutoka kwa Mashabiki wa Wenger guided Arsenal to the Premier League title for the third time in 2004 after going the season unbeatenArsenal na Wanahabari wa England.
Ferguson ameisifia himaya ya Wenger huko Arsenal na kutobadilika kwake licha ya kusakamwa na wapondaji.
 Sir Alex Ferguson (right) says Arsene Wenger is 'fantastic' and the criticism he has received has been wrong
Msimu huu, Wenger alikuwa na presha kubwa ya kupondwa sana baada ya Arsenal kuanza vyema Ligi Kuu England na mwishowe kutoweka kwenye mbio za Ubingwa ambapo hatimae Leicester City waliutwaa.
Wadau wengi wamekuwa wakidai Wenger anaifanya Arsenal idorore kwa kushindwa kununua Mastaa waliojengeka wa Bei mbaya na badala yake huchukua Vijana wa bei chee tu.
LakA section of Arsenal supporters have called for Wenger to leave after 20 years in charge of the Gunnersini Ferguson amedai Wenger anastahili pongezi kwa kushikilia falsafa yake.
 
Akiandika kwenye Makala maalum ya UEFA CHAMPIONZ LIGI, Ferguson alisema; "Amekuwa hodari. Sasa anapondwa lakini nahusudu msimamo wake wa kutoyumba licha ya kupondwa. Amebaki na kile anachoamini. Watu wanaofanya hivyo ni Makocha waelewa!"
Aliongeza: "Wenger hajabadili uchezaji wa Timu. Alipofika alirithiki Wachezaji kama Steve Bould, Martin Keown na Tony Adams lakini Timu yake ilibadilika walipoingia kina Thiery Henry, Robert Pires, Emmanuel Petit na Sylvain Wiltord. Utamaduni wa Timu ulibadilika."
"Ikawa Timu kali na uzoefu aliopata na Timu hiyo umemfanya asibadilike kuhusu aina ya Mchezaji anaemtaka na uchezaji anaotaka. Siku zote ni Mipira ya kupasua Difensi huku Wachezaji wakichomoka kwenye nafasi safi, pasi nzuri kwenye engo kwa Mastraika
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment