Tuhuma za Petitman kumkimbia msanii wake (+Audio)

U Heard ya Soudy Brown kupitia XXL ya Clouds FM May 02 2016 inamhusu Petitman kutoka kwenye Kampuni ya Endless Fame ambayo iko chini ya Wema Sepetu kulalamikiwa na wasanii wake kwamba amewamwaga, Soudy Brown ameinasa hii voice note ya Mirror akimlalamikia Petitman…

>>>uniongelei mimi kwa uzuri kwa nini mimi nionekane kwamba sifanyi kazi sio kweli, kama mimi ningekuwa sina kitu ninachokitaka kwenye huu muziki ningekuwa nimeshapotea’

>>>Wasanii wengine hajawamwaga lakini kuna group moja lilitengenezwa whatsapp la kizushi huko South, wamekuwa kama wanalalamika wanamwambia kwamba siku hizi uko busy na billnas na sisi kama unatupangua amewambia nyie vijana kazeni tu’:-Chafu
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment