
Kama utakuwa ni mpenzi wa kufuatilia stori za entertaiment basi hizi hapa zisikupite, millardayo.com imekurekodia stori zote za April 27 2016 ambazo zimepata airtime kupitia 255 ya XXL na moja ya Stori hizo ni hii ya msanii wa dance nchiniTanzania Christian Bella kaeleza ni wimbo gani angependa kuurudia kama cover.
Baada msanii huyo aliulizwa ni wimbo gani angependa kuurudia kuimba kama cover, alifunguka hivi……..
>>>’Mimi napenda sana kusikiliza nyimbo za kizungu ningependa kurudia ‘With you’ ya Chriss Brown, mimi siwezi kusikiliza tena ngoma za dansi kwenye gari yangu kwa sababu hizo ndio nyimbo nilizokuwa nazo, sasa hivi inabidi niwasikilize watu tofautitofauti‘:- Chritian Bella

Kusikiliza Stori zote zilizopata airtime unaweza kubonyeza Play hapa chini Pia unaweza kuniachia comment yako….

0 comments:
Post a Comment