
Usiku wa May 28 2016 ndio siku rasmi ambayo wasanii wa Bongfleva G Nako, Quick Rocka na Jux waliamua kufanya uzinduzi wa video ya ngoma yao waliofanya pamoja‘Hapo’ uzinduzi ulifanyika Azura Beach, sasa leo wameachia rasmi single ya video yao iitwayo Hapo.
Unaweza ukabonyeza play HAPA ukishamaliza kuisikiliza sio mbaya ukituachia na comment yako wakali hawa watapita hapa kujua Watanzania wameipokeaje

0 comments:
Post a Comment