October
19, 2016 Soudy Brown mtangazaji wa U Heard ya Clouds FM amepiga story
na msanii Linah ambaye inadaiwa anatoka kimapenzi na jamaa mmoja anaitwa
Shebby. Soudy ametaka kujua kuhusu picha zilizoanza kuzagaa
zikimuonesha Shebby akiwa anamvisha pete ya uchumba mwanamke mwingine.
Linah
amesema anajua kwamba Shebby aliwahi kuwa na mahusiano na mwanamke huyo
na alizaa naye ingawa kwasasa wameachana hivyo haoni tatizo yeye kuwa na
Shebby.

0 comments:
Post a Comment