Mkufunzi wa
Manchester United Jose Mourinho ameshtakiwa na shirikisho la soka nchini
Uingereza FA kwa kudai kwamba itakuwa vigumu kwa refa Anthony Taylor
kusimamia mechi yao dhidi ya Liverpool.
Mameneja hawaruhusiwa kuzungumzia kuhusu marefa kabla ya mechi.
Mourinho ana hadi Oktoba 31 kujibu shtaka la ukosefu wa nidhamu na kusababisha mechi hiyo kuwa na jina baya.
Taylor alito kadi 4 za njano zote kwa timu ya Manchester United katika sare hiyo ya 0-0

0 comments:
Post a Comment