Msanii Abubakar Mzuri adaiwa kufumaniwa na mke wa mtu


October 21, 2016 Ndani DIMBA TZ amepiga story na inayedaiwa kuwa ni mke wa msanii maarufu kwa jina la Mjomba. Stori kubwa ni kuhusu msanii aliyewahi kufanya poa kwenye music industry ya Bongo Flava, Abubakar Mzuri ambaye alikuwa zao la mashindano maarufu ya kusaka vipaji vya kuimba Bongo Star Search kufamaniwa na mwanamke huyo.

Inasemekana kwamba msanii huyo amefumaniwa baada ya mume wa mwanamke aliyekutwa naye kuwa safarini nje ya nchi na baada ya kugundulika mchezo wake wa kwenda nyumbani kwa mke wa mtu, Mjomba aliamua kutumia watu ambao walimkamata na kumpa kipigo ikiwa ni pamoja na kumvunja mkono.

Baada ya kuulizwa kama ni kweli juu ya kilichotokea, Mwanamke anayedaiwa kufamaniwa hajanonesha kukataa jambo hilo ingawa hakua na majibu ya moja kwa moja.

Pole ya nini tena? tatizo gani? kwani kufamaniwa ni jambo la ajabu au? kawaida tu kwahiyo mlikua mnatakaje?:-Mke wa Mjomba
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment