VIDEO: Kibali cha Farid Musa kucheza soka Hispania kimepatikana

Baada ya kukaa Dar es Salaam muda mrefu kwa mchezaji wa Azam FC aliyefuzu kucheza soka katika klabu ya Tenerife ya Hispania Farid Musa kwa sababu ya kukosa kibali cha kazi, hatimae October 26 2016 kibali ambacho ndio kilikuwa kinatajwa kuwa tatizo kwa mchezaji huyo kimepatikana, sasa safari ya Farid kwenda kucheza soka kwa mkopo Tenerife kimepatikana.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment