Arsenal kuwakosa Giroud na Debuchy

 Mshambuliaji wa Arsenal

Mshambuliaji wa Arsenal Mfaransa Oliver Giroud ataukosa mchezo wa ligi dhidi ya Southampton na kuwa majeruhi.

Nyota mwingine atakakosa mchezo huo ni beki Mathieu Debuchy anayesumbuliwa na maumivu ya nyama za paja.

Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger ameuambia mtandao wa klabu hiyo kuwa Debuch lifanyiwa vipimo lakini bado majibu hayatoka.

Mshambuliaji Lucas Perez anatarajiwa kuanza baada ya kupona maumivu ya enka yaliyomuweka nje kwa wiki tano.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment