
Mshambuliaji wa Arsenal Mfaransa Oliver Giroud ataukosa mchezo wa ligi dhidi ya Southampton na kuwa majeruhi.
Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger ameuambia mtandao wa klabu hiyo kuwa Debuch lifanyiwa vipimo lakini bado majibu hayatoka.
Mshambuliaji Lucas Perez anatarajiwa kuanza baada ya kupona maumivu ya enka yaliyomuweka nje kwa wiki tano.

0 comments:
Post a Comment