Cazorla ampa mbwa wake jina la mchezaji wa Manchester


screen-shot-2016-11-14-at-10-56-29-amKupitia channel ya Youtube ya Arsenal, kuna video mbalimbali zinawekwa zikionyesha maisha
ya wachezaji wa Arsenal. Kwenye moja ya kipengele cha channel hiyo inamuonyesha mchezaji
Santi Cazorla akijibu maswali ya haraka ambayo wameita “Rapid Fire” aliulizwa majina ya mbwa wake ambapo mmoja kati ya hao mbwa anamwita Zlatan.
Kwenye moja ya maswali aliulizwa kwamba anamchagua Ronaldo wa sasa au De Lima, Cazorla alijibu De Lima ni striker bora kutokea kwenye maisha ya soka aliyoshuhudia. Kwa upande wa movue Cazorla alisema kwamba Loed of Rings ndio movie bora kwake.
Kumpa jina la Zlatan mbwa wake kwake yeye ni moja ya njia za kuonyesha jinsi gani anamkubali mchezaji huyo ambaye anacheza timu yake pinza kwenye ligi ya England.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment