GARRY NEVILLE ATAJA FIRST ELEVEN YAKE YA MAN UNITED, AWATUPA NJE VIGOGO ROONEY, ZLATAN



Beki na nahodha wa zamani wa Manchester United, Garry Neville ametaja kikosi chake cha kwanza cha timu yake hiyo kwa wakati huu.

Neville aliyewahi kuwa kocha wa Valencia ya Hispania amewashangaza wengi baada ya kutaja kikosi ambacho hakina Wayne Rooney wala Zlatan Ibrahimovich.

KIKOSI ALICHOTAJA...
1. David De Gea 
2. Antonio Valencia
3. Daley Blind 
4. Chris Smalling
5. Eric Bailly
6. Michael Carrick
7. Paul Pogba
8. Ander Herrera
9. Anthony Martial
10. Henrikh Mkhitaryan 

11. Marcus Rashford
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment