DIAMOND: “Nilimpa HAMISA laki 5 kila wiki kwa ajili ya mtoto”


Mwimbaji staa wa Bongofleva Diamond Platnumz leo amehojiwa na LEO TENA ya CLOUDS FM Dar es salaam na kueleza kwa mara ya kwanza kuhusu ishu ya Mtoto wa Hamisa na amekiri kuwa mtoto wa Hamisa ni wake na alikuwa akimpatia laki tano kila wiki.
MTOTO WA HAMISA: Diamond kafunguka kuhusu ukimya wake
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment